Mwijaku: “Nyimbo za Diamond kuanza kuchezwa Clouds ataanza kushinda tuzo, Alipotea kimataifa”

Msanii na Mtangazaji wa Cloud Plus @mwijaku ametoa maoni yake kuhusu CEO wa Clouds media @josephkusaga kuwataka Watangazaji wa kipindi cha Leo tena kucheza wimbo wowote wa @diamondplatnumz na @mwijaku kusema kwamba huo ndio Utakuwa mwanzo wa @diamondplatnumz kuanza kushinda tuzo.
@mwijaku ameongeza kuwa @diamondplatnumz kutokushinda tuzo za kimataifa ni kwa sababu nyimbo zake ziliachwa kuchezwa Clouds media.

Pia kwa Upande wa @lilommy alishinda tuzo kwa sababu baadhi ya Watangazaji wa Clouds walianza kumtaja kama @bdozen na wengine.

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA YA MKWAWA AMBAYE ALIWAHI KUWA CHIFU WA UHEHE HISTORIA YA MKWAWA Mkwawa alikuwa kiomgozi wa jadi wa kabila la wahehe nchini Tanzania, ni moja kati ya viongozi shupavu wa jadi waliowahi kuishi duniani japo mapokeo yao yanaharibiwa taratibu na mabadiliko ya sayansi na technolojia lakini kumbukumbu zao hazitasahauliki hata vizazi vingi vijavyo. miongoni mwa machifu wanaotajwa kuwa na nguvu za kiutawala kwa kipindi hicho ni pamoja na kinjekitile ngwale wa songea aliyeongoza vita za majimaji, Mirambo wa Tabora nk PICHA YA MKWAWA

Nigeria, Rwanda ruksa kutoka nje, ni baada ya Lockdown

Mwili wa George Floyd kuzikwa leo, maelfu wafurika kanisa la ‘The Fountain of Praise’ kutoa heshima za mwisho