DAWA YA KORONA KUFIKA TANZANIA KUTOKA MADAGASCAR.

Serikali ya Tanzania leo imepokea kutoka Serikali ya Madagascar msaada wa dawa zinazofubaza virusi vya corona.
Ikumbukwe katika Hotuba ya Rais Magufuli siku tano zilizopita alisema kuwa . “Nimewasiliana na Madagascar kuna dawa ya corona wameipata nitatuma Ndege hiyo dawa ije hapa, tutumie dawa, tuombe Mungu bila kuchoka huu ugonjwa utaondoka tu”

“Watanzania corona isitutishe, inawezekana kuna Watu wengine wamekufa kwasababu ya hofu tu, Viongozi wa Dini msitupotoshe, nampongeza Mufti amesema sisi tutaendelea kufunga, Watanzania tusimame imara tumeshashinda hii vita”

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA YA MKWAWA AMBAYE ALIWAHI KUWA CHIFU WA UHEHE HISTORIA YA MKWAWA Mkwawa alikuwa kiomgozi wa jadi wa kabila la wahehe nchini Tanzania, ni moja kati ya viongozi shupavu wa jadi waliowahi kuishi duniani japo mapokeo yao yanaharibiwa taratibu na mabadiliko ya sayansi na technolojia lakini kumbukumbu zao hazitasahauliki hata vizazi vingi vijavyo. miongoni mwa machifu wanaotajwa kuwa na nguvu za kiutawala kwa kipindi hicho ni pamoja na kinjekitile ngwale wa songea aliyeongoza vita za majimaji, Mirambo wa Tabora nk PICHA YA MKWAWA

Nigeria, Rwanda ruksa kutoka nje, ni baada ya Lockdown

Mwili wa George Floyd kuzikwa leo, maelfu wafurika kanisa la ‘The Fountain of Praise’ kutoa heshima za mwisho