Haji Manara atoa ya moyoni baada ya Diamond kutangaza kulipia familia 500 kodi “Wapo wabishi watasema kwanini umetangaza”

Msemaji wa klabu ya Simba Haji Sunday Manara amefunguka kupitia ukurasa wake wa Instagram baada yaDiamond kutangaza kulipia familia 500 kodi za nyumba kwa miezi mitatu.


Haji Manara alichukua ujumbe aliopost Diamond na kuupost kwenye ukurasa wake wa Instgram na kuandika maneno haya:

“Sijawahi kujuta kuwa na ushkaji na ww,,wapo wabishi watasema mbona umetangaza?
Ahhhh !! Hii ni kwa ajili ya kuwainspire wengine waliojaaliwa kdogo kuwatazama wenzao!! Unajua nn Mwamba? Mungu atakuongezea ile mbaya,,atakufungulia Rizk zaidi na kwa sasa bado kitu kimoja tu ,,ukifanya hvyo na Peponi tutakaa Wote Inshaallah,,,,.. OA
@diamondplatnumz“



Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA YA MKWAWA AMBAYE ALIWAHI KUWA CHIFU WA UHEHE HISTORIA YA MKWAWA Mkwawa alikuwa kiomgozi wa jadi wa kabila la wahehe nchini Tanzania, ni moja kati ya viongozi shupavu wa jadi waliowahi kuishi duniani japo mapokeo yao yanaharibiwa taratibu na mabadiliko ya sayansi na technolojia lakini kumbukumbu zao hazitasahauliki hata vizazi vingi vijavyo. miongoni mwa machifu wanaotajwa kuwa na nguvu za kiutawala kwa kipindi hicho ni pamoja na kinjekitile ngwale wa songea aliyeongoza vita za majimaji, Mirambo wa Tabora nk PICHA YA MKWAWA

Nigeria, Rwanda ruksa kutoka nje, ni baada ya Lockdown

Mwili wa George Floyd kuzikwa leo, maelfu wafurika kanisa la ‘The Fountain of Praise’ kutoa heshima za mwisho