TDiamond aanza kutimiza ahadi ya kuzilipia familia 500 kodi kwa miezi 3, Familia 57 zanufaika bado 443
Msanii na Mkurugenzi wa Kampuni ya Wasafi, Naseeb Abdul maarufu ‘Diamond Platnumz’ ametoa msaada wa kodi ya pango kwa watu 57 ambao ni Wajane, Walemavu pamoja na Wasiojiweza.
Msaada huo ni awamu ya kwanza katika dhamira yake ya kusaidia kodi ya pango kwa Kaya 500 nchini zilizoathirika kiuchumi na janga la #CoronaVirus.
Msaada huo ni awamu ya kwanza katika dhamira yake ya kusaidia kodi ya pango kwa Kaya 500 nchini zilizoathirika kiuchumi na janga la #CoronaVirus.
Comments
Post a Comment